Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
TIMU ya Azam FC imeibuka na ushindi wa 1-0 ugenini dhidi ya wenyeji, Mbeya City katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya.
Shukrani kwa mfungaji wa bao hilo pekee, beki Mghana Yakubu Mohamed dakika ya 45 na ushei na kwa ushindi huo, Azam FC inafikisha pointi 66 baada ya kucheza mechi 31, ingawa inabaki nafasi ya pili nyuma ya Yanga yenye pointi 74 za mechi 31 pia.
Mabingwa watetezi, Simba SC wanafuatia katika nafasi ya tatu wakiwa na pointi 57 baada ya kucheza mechi 22, kutokana na kutingwa na michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
Lakini baada ya kutolewa katika hatua ya Robo Fainali kufuatia kipigo cha mabao 4-1 kutoka kwa TP Mazembe jana mjini Lubumbashi, Simba SC itakuwa na mechi mfululizo kumaliza viporo vyake.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://bit.ly/2Gda1oB
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms