Na Asha Said, DAR ES SALAAM
ALIYEKUWA kipa wa Yanga SC, Beno Kakolanya akisaini mkataba wa miaka miwili kujiunga na mahasimu, Simba SC ambao ni mabingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara.
Taarifa ya Simba SC leo imesema kwamba wamekwishamalizana na Kakolanya baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili kuwa mlinda mlango mpya wa klabu hiyo.
“Hakuna ubishi kuwa huyu ni moja ya makipa wenye uwezo mkubwa nchini na tunaamini akishirikiana na wenzake katika kikosi chetu watatuwezesha kuongeza ukubwa wa timu na kutupatia mataji msimu ujao,”imesema taarifa ya Simba SC. Tumeshamalizana nae kwa mkataba wa miaka miwili.
Kusajiliwa kwa Kakolanya kunafanya idadi ya jumla ya makipa wanne Simba SC, Aishi Manula, Deogratias Munishi ‘Dida’ na chipukizi Abdul Salim anayeinukia vizuri.
Kakolanya alisajiliwa Yanga SC mwaka juzi kwa ajili ya kwenda kuchukua nafasi za makipa walioonekana wanaelekea kuchoka, Deo Munishi ‘Dida’ na Ally Mustafa ‘Barthez’, lakini hata hivyo akashindwa pamoja na wawili hao kuondoka.
Kwa misimu miwili aliyokaa Yanga, David Kakolanya amedaka mechi 24 tu, kabla ya kujiondoa mwenyewe akiituhumu klabu kukiuka vipengele vya mkataba ambao mwishowe ulivunjwa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://bit.ly/2x48aP3
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms