Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
KIPA mkongwe wa Azam FC, Mwadini Ali amesema kwamba siri ya mafanikio yake ni kujitunza na kuzingatia nidhamu ya mazoezi.
Akizungumza baada ya kusaini mkataba mpya wa mwaka mmoja kuendelea kuitumikia timu ya Alhaj Sheikh Said Salim Awadh Bakhresa na familia yake, Mwadini amesema nidhamu, uadilifu na kujitunza ndiyo siri ya mafanikio yake.
"Mimi sina mambo mengi, hata vijana wanajua. Ninajitunza na ninazingatia miiko ya michezo, ni hayo mambo yanayonifanya niwe vizuri siku zote,"amesema Mwadini, ambaye kwa sasa ni kipa wa pili nyuma ya Mghana, Razack Abalora.
Mwadini Ali amesema kwamba siri ya mafanikio yake ni kujitunza na kuzingatia nidhamu ya mazoezi
Mwadini alijiunga na Azam FC mwaka 2011 akitokea Mafunzo ya Zanzibar, alisaini mkataba huo rasmi mwishoni mwa wiki mbele ya Ofisa Mtendaji Mkuu, Abdulkarim Amin 'Popat' na Mratibu wa timu, Phillip Alando.
Mchezaji huyo mwandamizi wa timu hiyo, anazidi kuongeza idadi ya wachezaji waliosaini mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia Azam FC, wengine wakiwa ni mabeki David Mwantika, Bruce Kangwa, Abdallah Kheri na mshambuliaji Donald Ngoma.
Uongozi wa Azam FC chini ya Popat kwa kushirikiana na benchi la ufundi la timu hiyo, wanaendelea na zoezi la kuwabakisha wachezaji waliomaliza mkataba pamoja na usajili wa wachezaji wapya wa kuongeza nguvu kikosini kwa ajili ya msimu ujao.
Kikosi cha Azam FC kwa sasa kipo mapumzikoni na kinatarajia kurejea mazoezini Juni 20 mwaka huu, tayari kuanza maandalizi ya msimu mpya 2019/2020 ikianza na kibarua cha kutetea Kombe la Kagame (CECAFA Kagame Cup) kuanzia Julai 6 mwaka huu jijini Kigali, Rwanda.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://bit.ly/2F4gXVg
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang MWADINI AFICHUA SIRI YA MAFANIKIO YAKE HADI AMEDUMU AZAM FC. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2019/06/mwadini-afichua-siri-ya-mafanikio-yake.html. Terimakasih atas perhatiannya.