Na Asha Said, DAR ES SALAAM
TIMU ya Polisi Tanzania ya Kilimanjaro itakayoshiriki Ligi Kuu ya Tanzania Bara msimu ujao imemtambulisha rasmi Selemani Matola kuwa kocha wake msaidizi.
Matola ambaye ni kiungo wa zamani wa Simba, alikuwa kocha msaidizi wa Lipuli FC kwa misimu miwili iliyopita akiiwezesha kumaliza nafasi ya sita na kufika fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Federation Cup (ASFC) msimu uliopita.
Polisi imepanda Ligi Kuu baada ya kuongoza Kundi B ikiungana na Namungo FC ya Lindi iliyoongoza Kundi A zikichukua nafasi za African Lyon na Stand United zilizoshuka moja kwa moja kutoka Ligi Kuu.
Selemani Matola ameachana na Lipuli FC na kujiunga na Polisi Tanzania kama kocha wake msaidizi pia
Polisi ilipanda Ligi Kuu ikiwa chini ya Kocha Mbwana Makatta ambaye baada ya hapo ameondolewa na sasa timu hiyo itaendelea kutafuta kocha Mkuu mwingine atakayefanya kazi na Matola.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://bit.ly/2Ii9zYB
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms