Na Asha Said, DAR ES SALAAM
WAZIRI wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Dk. Harrison Mwakyembe, amewataka Watanzania kuchangia timu yao ya taifa ya soka, Taifa Stars inayojiandaa kushiriki Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON).
Akizungumza na Waandishi wa Habari leo mjini Dar es Salaam, Waziri Mwakyembe amesema ni jukumu la kila Mtanzania kuchangia kiasi chochote kwa ajili ya kutoa hamasa kwa wachezaji.
Alisema kuwa kuna baadhi ya nchi zimetangaza kutoa magari na vitu mbalimbali nao wameamua kuanzisha kitu ambacho kitawapa morali vijana wao.
Alisema kuna akaunti mbili maalum ambazo zitakuwa zikiingizwa fedha hizo, ambazo ni CRDB no 01J109956700 na ya Baraza la Michezo Tanzania (BMT) 0111010009781 pamoja namba ya simu ya mkononi 0735414043 ya Oscar Zabron.
Alisema siku ya Alhamisi watakuwa na hafla ya maalum ambayo itakuwa ya moja kwa moja, ikiwa ni pamoja na kuandaa vyeti maalum vya shukurani kwa watakaochangia.
"Watanzania sio lazima uwe na uwezo kiasi chochote kile hata 2,500 inapokelewa na kuwepo sehemu ya zawadi kwa wachezaji wetu" alisema Mwakyembe.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://bit.ly/2WOCEyK
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms