Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta akinywa maji baada ya mazoezi makali gym jana Dubai. Samatta yupo Dubai akitumia kipindi cha mapumziko mafupi ya klabu yake katika Ligi Kuu ya England kujifua binafsi kujiweka fiti zaidi ili aweze kumudu mikiki ya ligi hiyo.
Baada ya kufunga kwenye mechi yake ya kwanza EPL mwishoni kwa wiki iliyopta, Aston Villa ikichapwa 2-1 na wenyeji, AFC Bournemouth Uwanja wa Vitality akina Samatta hawatakuwa na mchezo mwingine hadi Jumapili ijayo, watakapoikaribisha Tottenham Hotspur.
Kazi na dawa; Hapa Mbwana Samatta akicheza kwenye ngamia baada ya mazoezi
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2So2ZU5
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms