NYOTA wa zamani wa Chelsea, Didier Drogba ameitoa hospitali yake nchini Ivory Coast itumike kama kituo cha matibabu ya wagonjwa wa virusi vya corona.
Hospitali hiyo iliyopo Abidjan – ilifunguliwa mwaka 2016 na imepewa jina la gwiji wa soka wa zamani wa Ivory Coast, Laurent Pokou, aliyefariki dunia mwaka huu ilipofunguliwa.
Kwa sasa ugonjwa wa COVID-19 bado haujawa tishio kubwa barani Afrika, ingawa kuna wasiwasi baadaye virusi hivyo vitasambaa kwa wingi zadi.
Mkuu wa Mkoa wa Abidjan, Vincent Toh Bi Irie amemshukuru sana Drogba kwa msaada huo wa kibinadam na amesema kwamba hospitali hiyo itasaidia katika mapambano dhidi ya ugonjwa huo.
Didier Drogba ameitoa hospitali yake nchini Ivory Coast itumike kama kituo cha matibabu ya wagonjwa wa virusi vya corona PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Hospitali hiyo ya Ivory Coast ni sehemu ya Mfuko wa Didier Drogba ambaye enzi zake aliifunga mabao 65 nchi yake katika mechi 105, aliouanzisha kukusanya fedha za kusaidia afya na elimu Afrika.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2yS2b3H
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms