UONGOZI Serie A nchini Italia unafikiria uwezekano wa kumalizia mechi zote 12 za ligi hiyo zilizosalia katika Jiji la Roma kutokana na hofu ya maambukizi ya virusi vya corona, vinavyosababisha ugonjwa wa COVID19.
Kwa mujibu wa gazeti la La Repubblica, chama cha soka nchini Italia, kinatafakari kwa kina namna ya kumalizia msimu huu, huku wakipata wazo hilo la kucheza michezo sehemu moja, jambo ambalo halijawahi kufanyika.
Kama ilivyo kwa Ligi zote na mashindano mbalimbali duniani, Serie ilisitishwa katikati ya mwezi uliopita kutokana na mlipuko wa maambukizi ya virusi vya corona.
Serie A inafikiria kumalizia mechi zote 12 za ligi hiyo zilizosalia katika Jiji la Roma kutokana na hofu ya maambukizi ya virusi vya corona PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Klabu zote 20 za Serie A zitakwenda Rome kumalizia msimu huu kwa muda wa siku 45, yaani mwezi mmoja na nusu kwenye mechi ambazo mashabiki hawataruhusiwa kuingia uwanjani.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2UU7o3u
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms