NYOTA wa zamani wa Barcelona na Brazil, Ronaldinho Gaucho, ametolewa gerezani na kwenda kutumikia kifungo cha nje, lakini atakuwa kwenye hoteli ya kifahari ya nyota tano nchini Paraguay.
Ronaldinho, bado anafanyiwa uchunguzi zaidi kwa kosa lake la kughushi hati ya kusafiria (Passport), ambapo machi 6 mwaka huu, yeye na kaka yake, waliingia Paraguay wakiwa na Passport bandia, zilizowatambulisha kuwa ni raia wa Paraguay.
Wawili hao walihukumiwa miezi sita kwenda jela, lakini baada ya kuripotiwa kulipa dhamana ya Pauni milioni 1.3, wametolewa na wataendelea kutumikia kifungo cha nje.
Ronaldinho Gaucho atakuwa kwenye hoteli ya nyota tano nchini Paraguay baada ya kutolewa gerezani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ronaldinho mwenye miaka 40, atakuwa akiishi kwenye chumba cha gharama zaidi katika Hotel ya nyota tano ya Palmaroga iliyopo mji mkuu wa Paraguay, Asuncion.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2Vd9xGx
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms