KIKOSI cha Yanga SC kabla ya mchezo wa kwanza wa Kundi D Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati, Kombe la Kagame dhidi ya waliokuwa mabingwa watetezi, Rayon Sports ya Rwanda Uwanja wa Nakivubo Jijini Kampala, Uganda Januari 4 mwaka 1999.
Kutoka kulia waliosimama ni Kocha Msaidizi Freddy Felix Minziro, Salvatory Edward, Ally Mayay, Goliath Mwakipesile, Said Mwamba ‘Kizota’ (marehemu), Said Mhando (marehemu), Shaaban Ramadhani, Akida Makunda, Bakari Malima, Joseph Katuba (marehemu), Eustace Bajwala na Edibily Lunyamila. Rayon ilishinda 3-0, mabao ya Kombi Mussa dakika ya 10 kwa penalti, Ndaleni Kakule dakika ya 78 na Claude Kalisa dakika ya 9, ingawa Yanga ilizinduka na kulipa kisasi kwenye mchezo wa marudiano hadi kutwaa Kombe.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2XAUABb
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang YANGA ILIYOANZA VIBAYA KAGAME 1999 IKATWAA KOMBE KAMPALA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2020/04/yanga-iliyoanza-vibaya-kagame-1999.html. Terimakasih atas perhatiannya.