• Home
  • About Us
  • Contact Us
  • Disclaimer
  • Sitemap
  • Privacy Policy

Viral Sports

MENU

  • BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE BLOG
  • BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE
  • Hollywoodbets Sports Blog

Mengenai Saya

admin blog
Lihat profil lengkapku

Arsip Blog

  • ►  2025 (242)
    • ►  Juli (1)
    • ►  Juni (8)
    • ►  Mei (44)
    • ►  April (66)
    • ►  Maret (36)
    • ►  Februari (57)
    • ►  Januari (30)
  • ►  2024 (832)
    • ►  Desember (57)
    • ►  November (49)
    • ►  Oktober (54)
    • ►  September (67)
    • ►  Agustus (63)
    • ►  Juli (78)
    • ►  Juni (68)
    • ►  Mei (84)
    • ►  April (92)
    • ►  Maret (77)
    • ►  Februari (65)
    • ►  Januari (78)
  • ►  2023 (1299)
    • ►  Desember (79)
    • ►  November (75)
    • ►  Oktober (88)
    • ►  September (95)
    • ►  Agustus (112)
    • ►  Juli (125)
    • ►  Juni (126)
    • ►  Mei (117)
    • ►  April (148)
    • ►  Maret (135)
    • ►  Februari (82)
    • ►  Januari (117)
  • ►  2022 (1404)
    • ►  Desember (71)
    • ►  November (79)
    • ►  Oktober (117)
    • ►  September (120)
    • ►  Agustus (115)
    • ►  Juli (119)
    • ►  Juni (121)
    • ►  Mei (123)
    • ►  April (121)
    • ►  Maret (119)
    • ►  Februari (130)
    • ►  Januari (169)
  • ►  2021 (2522)
    • ►  Desember (170)
    • ►  November (124)
    • ►  Oktober (138)
    • ►  September (190)
    • ►  Agustus (154)
    • ►  Juli (141)
    • ►  Juni (133)
    • ►  Mei (134)
    • ►  April (252)
    • ►  Maret (348)
    • ►  Februari (355)
    • ►  Januari (383)
  • ▼  2020 (4463)
    • ►  Desember (387)
    • ►  November (405)
    • ►  Oktober (348)
    • ►  September (394)
    • ►  Agustus (435)
    • ►  Juli (433)
    • ►  Juni (372)
    • ▼  Mei (244)
      • Lucky Numbers World Tour Promotion: FAFI Draw 5/36
      • YANGA SC WALIVYOSAINI MKATABA WA USHIRIKIANO NA KA...
      • Yeye: Chiefs shouldn't be crowned PSL champions
      • Neil Morrice: International Racing - Monday 01 Jun...
      • International Racing: Deauville – Monday 01 June 2020
      • International Racing: Dubbo – Monday 01 June 2020
      • International Racing: Northam – Monday 01 June 2020
      • Horse Racing Tips: Hollywoodbets Greyville Best Be...
      • NYOTA WA SIMBA 1992, BAKARI IDDI, MAGOSO NA MAREHE...
      • International Racing: Toowoomba – Sunday 31 May 2020
      • International Racing: Pinjarra Park - Sunday 31 Ma...
      • International Racing: Sha Tin Turf – Sunday 31st M...
      • BEKI MKONGWE, SALUM KANONI KUPELA AKIWAONGOZA WACH...
      • MBWANA SAMATTA AFICHUA; “UMALIZIAJI AU KULENGA SHA...
      • Anthony Delpech - Sha Tin Preview - Sunday 31st Ma...
      • NI MZIGO MZITO CHRISTIAN BELLA ANABEBESHWA, AACHWE...
      • Neil Morrice: International Racing - Sunday 31 May...
      • Hollywoodbets Back On Track Challenge 2020
      • Back On Track Challenge - Grooms - Terms and Condi...
      • Back On Track Challenge - Apprentices - Terms and ...
      • Back On Track Challenge - Racehorses - Terms and C...
      • Back On Track Challenge - Jockeys - Terms and Cond...
      • Back On Track Challenge - Trainers - Terms and Con...
      • German Bundesliga: GW 29 Preview
      • MAMBO YA KUZINGATIA MICHEZONI WAKATI WA MAAMBUKIZI...
      • SIMBA NA YANGA ZINAWEZA KUKUTANA TENA NUSU FAINALI...
      • MECHI ZOTE ZILIZOSALIA ZA LIGI KUU TANZANIA BARA K...
      • NRL: Round 3 Friday and Saturday Preview
      • Mungroo looking to kick on
      • NRL: Brisbane Broncos v Parramatta Eels Preview
      • JEZI MPYA ZA MSIMU UJAO ZA MANCHESTER UNITED ZIMEV...
      • MAFUNDI JONAS MKUDE, DEO KANDA NA NYOA WENGINE MAZ...
      • KAPTENI PAPY KABAMBA TSHISHIMBI ALIVYOWAONGOZA WAC...
      • AZAM FC WALIVYOREJEA MAZOEZINI JANA CHAMAZI KUJIAN...
      • Would two T20 World Cups in 2021 be overkill
      • International Racing: Thursday 28 May 2020 – Belmo...
      • International Racing: Lyon-Parilly – Thursday 28 M...
      • International Racing: Clairefontaine – Thursday 28...
      • International Racing: Gosford - Thursday 28 May 2020
      • International Racing: Ballarat - Thursday 28 May 2020
      • Neil Morrice: International Racing - Thursday 28 M...
      • International Racing: Cairns - Thursday 28 May 2020
      • South Korean K1 League GW4 Preview
      • BARCELONA YATUMIA JANGA LA CORONA KUJIONGEZEA PATO...
      • WACHEZAJI WA SIMBA SC WAFANYIWA VIPIMO MBALIMBALI ...
      • WACHEZAJI YANGA SC WALIPOPIMWA CORONA JANA TAYARI ...
      • KOCHA MRUNDI KUANZA KUINOA AZAM FC KUJIANDAA KUMAL...
      • BAYERN MUNICH YAICHAPA BORUSSIA DORTMUND 1-0 NA KU...
      • PAMOJA NA KUREJEA, CRISTIANO RONALDO AFANYA MAZOEZ...
      • BAO AMBALO SAMATTA ALIWAFUNGA LIVERPOOL UWANJA WA ...
      • MKALI WA MABAO, MEDDIE KAGERE AWASILI DAR TAYARI K...
      • CHINA: MWALUSAKO ALINIPIGANIA NIPANGWE YANGA NIKIW...
      • This Week's Lucky Numbers
      • Belarusian Premier League GW11 Preview
      • German Bundesliga Preview: GW 28
      • MCHEZAJI NA KIONGOZI WA ZAMANI WA YANGA SC AFARIKI...
      • International Racing: Lyon Parilly – Monday 25 May...
      • WLADIMIR KLITSCHKO AMTEMBELEA MAZOEZINI EVANDER AK...
      • JANGA LA CORONA LIMETUPA ELIMU GANI KWENYE MCHEZO ...
      • BAYERN MUNICH YAICHAPA FRANKFURT 5-2 NA KUENDELEA ...
      • YANGA SC ILIPOICHAPA SIMBA 1-0 1992 BAO PEKEE LA K...
      • SIMBA SC KUANZA MAZOEZI YA PAMOJA JUMATANO KUJIAND...
      • 'CAPTAIN DIEGO', MBWANA ALLY SAMATTA ALIVYOREJEA M...
      • UNAKATAAJE TWANGA PEPETA KUJIITA KISIMA CHA BURUDANI?
      • KIPA HODARI WA YANGA SC, METACHA BONIPHACE MNATA A...
      • HARUNA NIYONZIMA WA YANGA, AKIWA MAZOEZINI NA BEKI...
      • MECHI ZOTE ZILIZOSALIA ZA LIGI KUU TANZANIA BARA N...
      • International Racing: Saturday 23 May 2020 – Darwin
      • International Racing: Bordeaux – Saturday 23 May 2020
      • International Racing: Belmont - Saturday 23 May 2020
      • International Racing: Flemington - Saturday 23 May...
      • International Racing: Royal Randwick - Saturday 23...
      • Neil Morrice: International Racing - Saturday 23 M...
      • International Racing: Saturday 23 May 2020 – Murra...
      • International Racing: Angers – Saturday 23 May 2020
      • Super Rugby Aotearoa: Teams Preview
      • Loyal du Toit an asset to SA rugby
      • RAIS MAGUFULI LIGI KUU TANZANIA BARA NA MICHEZO YO...
      • Evolution and Ezugi Live Games Guide
      • Belarusian Premier League: GW10 Preview
      • South Korean K1 League: GW3 Preview
      • International Racing: Thursday 21 May 2020 – Belmo...
      • TRENT ALEXANDER-ARNOLD MAZOEZINI NA WENZAKE LIVERP...
      • DK MSHINDO MSOLLA AZINDUA KAMPENI YA KUELEKEA KWEN...
      • KOCHA WA MAKIPA MISRI AFARIKI KWA UGONJWA WA COVID 19
      • Neil Morrice: International Racing - Thursday 21 M...
      • German Bundesliga Preview: GW 27
      • International Racing: Hawkesbury - Thursday 21 May...
      • International Racing: Longchamp - Thursday 21 May ...
      • 'Bloemfontein Celtic not for sale'
      • Should the IPL be the tournament to lead cricket's...
      • KIUNGO FUNDI, SALUM ABUBAKAR 'SURE BOY' AKIFANYA M...
      • This Week's Lucky Numbers
      • Premier League clubs approve plans to resume group...
      • Rugby News: Monday 18 May
      • International Racing: Tuesday 19 May 2020 – Rockha...
      • HAPA SI YULE IBRA CADABRA WA SIMBA SC, NI AL USTAD...
      • AWAMU YA PILI YA UKARABATI WA UWANJA WA AZAM COMPL...
      • Neil Morrice: International Racing - Tuesday 19 Ma...
      • KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA AWAKABIDHI TANZANIA ...
    • ►  April (248)
    • ►  Maret (355)
    • ►  Februari (392)
    • ►  Januari (450)
  • ►  2019 (4532)
    • ►  Desember (328)
    • ►  November (367)
    • ►  Oktober (420)
    • ►  September (394)
    • ►  Agustus (411)
    • ►  Juli (364)
    • ►  Juni (318)
    • ►  Mei (360)
    • ►  April (382)
    • ►  Maret (419)
    • ►  Februari (365)
    • ►  Januari (404)
  • ►  2018 (5483)
    • ►  Desember (328)
    • ►  November (450)
    • ►  Oktober (535)
    • ►  September (484)
    • ►  Agustus (487)
    • ►  Juli (481)
    • ►  Juni (431)
    • ►  Mei (483)
    • ►  April (393)
    • ►  Maret (435)
    • ►  Februari (419)
    • ►  Januari (557)
  • ►  2017 (5921)
    • ►  Desember (477)
    • ►  November (567)
    • ►  Oktober (506)
    • ►  September (518)
    • ►  Agustus (555)
    • ►  Juli (535)
    • ►  Juni (465)
    • ►  Mei (471)
    • ►  April (459)
    • ►  Maret (448)
    • ►  Februari (441)
    • ►  Januari (479)
  • ►  2016 (2138)
    • ►  Desember (445)
    • ►  November (509)
    • ►  Oktober (482)
    • ►  September (466)
    • ►  Agustus (236)
Diberdayakan oleh Blogger.
Home » BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE » MAMBO YA KUZINGATIA MICHEZONI WAKATI WA MAAMBUKIZI YA CORONA

MAMBO YA KUZINGATIA MICHEZONI WAKATI WA MAAMBUKIZI YA CORONA

Na Mwandishi Wetu, DODOMA
UTANGULIZI; Kufuatia kuwepo kwa ugonjwa wa CoVID-19 unaotokana na Virusi vya Corona nchini ambao uliripotiwa kwa mara ya kwanza mwezi Machi, 2020, Serikali iliamua kusimamisha shughuli zote za michezo ikiwemo mashindano ya Ligi za Soka kwa lengo la kupunguza kuenea kwa ugonjwa huo. Takwimu za mwenendo wa ugonjwa wa CoVID-19 nchini kwa sasa zinaonesha kupungua kwa wagonjwa jambo ambalo linaleta matumaini ya kuendelea na shughuli za kijamii ikiwemo Serikali kupitia kwa Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli kuruhusu shughuli za michezo kuendelea kuanzia Juni Mosi, 2020. Aidha, Mhe. Rais aliziagiza Wizara zenye dhamana ya Afya na ile ya Michezo kuandaa Mwongozo wa pamoja wa namna michezo itakavyorejea nchini hususani ligi za soka.
Kwa maelekezo hayo, wataalamu na baadaye viongozi wa sekta hizi mbili, kwa kushirikisha wadau mbalimbali wa michezo yakiwemo mabaraza, shirikisho, vyama na vilabu vyenyewe, wamekubaliana kuzingatiwa.

Mambo ya Kuzingatia; Utaratibu huu unalenga kusaidia kuwepo kwa mazingira wezeshi na salama ili
kuendelea na michezo na kuepusha kuenea kwa maambukizi ya Virusi vya Corona.
Aidha utaratibu huu utatumika ndani ya Tanzania Bara kwa michezo ya aina zote na katika ngazi zote hususani Ligi Kuu ya Soka na michezo mingine mbalimbali. Katika kufanikisha uwepo wa mazingira hayo yafuatayo ni muhimu kuzingatiwa;-
1
2.0.1 Elimu kwa wadau wa michezo kuhusu kujikinga na maambukizi:
a) Wataalam wa afya kwa kushirikiana na wasimamizi wa michezo husika watoe elimu kwa wadau wa michezo kuhusu kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona kabla michezo yote haijaanza rasmi ikiwemo kuhusu Mwongozo huu na maelekezo mengine ya wataalamu wa afya;
b) Wataalamu wa afya waendelee kusambaza mabango kwenye viwanja, vyumba vya kubadilishia nguo, kambi za michezo kwa ajili ya wachezaji na mashabiki kusoma taratibu na kanuni za kuchukua tahadhari dhidi ya maambukizi ya Corona. Aidha mabango yawekwe pia katika maeneo yote yatakayohusisha wananchi kuangalia mashindano ya michezo;
c) Kuweponamatangazoyamarakwamarandaninanjeyaviwanjavya michezo kabla, wakati na baada ya matukio ya michezo;
d) Madaktari wa timu au washauri wa afya wa vyama na mashirikisho ya michezo washiriki katika hatua hizi kikamilifu kwa kutoa semina kwa wachezaji na viongozi kuhusu mambo ya kuzingatiwa kiafya katika kila hatua za maandalizi, kambi, mechi na baada ya mechi;
e) Viongozi wengine wa vilabu, vyama, mashirikisho, timu kama vile Wenyeviti, wadhamini, wasemaji, Makatibu Wakuu, makocha na manahodha nao washiriki kikamilifu kutoa elimu na kusisitizia tatahdhari za kiafya kila wanapopata nafasi; na
f) Matangazo na machapisho yote yazingatie pia kuwezesha makundi yenye mahitaji maalum kupata elimu husika.
2.0.2 Kambi, Viwanja vya Mazoezi na Mechi
i. Uongozi wa viwanja na vyama/shirikisho husika waweke miundimbinu ya kuwezesha upatikanaji wa maji tiririka na sabuni kwa ajili ya kunawia mikono au vipukusi (sanitizers) katika maeneo yote muhimu kwa ajili ya kujikinga na maambukizi;
2
ii. Milango yote ya kuingiza watu viwanjani ifunguliwe mapema na itumike kwa kuzingatia umbali wa mita moja wakati wa kuingia na kutoka ili kuepusha misongamano;
iii. Katika mazingira ambapo watazamaji wataruhusiwa kuingia viwanjani ukaaji uzingatie umbali wa mita moja baina ya mtu na mtu. Uongozi wa viwanja, vyombo vya dola na wasiwamizi wengine wa ligi waruhusu tu watazamaji watakaokuwa tayari kuzingatia na kutii Kanuni za afya na kuchukua hatua kali dhidi ya wale watakaokaidi ikiwemo kuwatoa uwanjani au kuzuia wasihudhurie tena mechi;
iv. Mashabiki, viongozi na wadau wote wanaohusika na mechi wakiwemo wanahabari watalazimika kuvaa barakoa kwa muda wote wawapo uwanjani;
v. Viongozi wa vilabu uhakikishe wachezaji wanajisafisha kwa vipukusi au maji tiririka kwa ajili ya kujikinga na maambukizi kabla na baada ya mechi/mazoezi;
vi.Uongozi wa viwanja kwa kushirikiana na mashirikisho/vyama/timu mwenyeji waweke vifaa vya kuhifadhi taka pamoja na maji safi na salama katika vyoo wakati wote hasa wakati wa mazoezi na mashindano;
vii.Wasimamizi wa michezo husika wahakikishe kunakuwepo na gari la wagonjwa lenye vifaa muhimu ikiwemo vifaa vya kusaidia kupumua kwa ajili ya tahadharI hasa katika michezo inayohusiska wachezaji na mashabiki wengi kama soka n.k;
viii. Kila uwanja utenge maeneo ya tahadhari kwa ajili ya washukiwa wa CoVID-19 iwapo watabainika watu wenye dalili za ugonjwa huo na kuhitaji kutengwa kabla ya vipimo;
3
ix. Kabla ya kuingia uwanjani kwa ajili ya mazoezi na/au mechi wachezaji na viongozi wa kwenye benchi la ufundi na viongozi wengine wapimwe joto au kuona kama wanadalili nyingine zozote za CoVID -19;
x. Mchezaji au kiongozi atakayeonesha dalili za kutia shaka atazuiwa kuungana na wenzake, kutengwa na kuelekezwa namna ya kwenda kupata vipimo kamili na ataruhusiwa kujiunga baada ya kuthibitika kuwa hana CoVID-19;
xi. Utakuwa ni wajibu wa madaktari wa kila timu na wataalamu wengine wanaokuwepo katika michezo mbalimbali kusimamia Kanuni hizi wakati wote wachezaji wanapokuwa kambini, safarini, mazoezini au viwanjani na hatua kali zitachukuliwa kwa wataalamu hao iwapo kutabainika kuzembea katika usimamizi;
xii. Wenye viti na watendaji wa mitaa/vijiji waendelee kusimamia maeneo ya mashabiki kutazama michezo na kutoruhusu maeneo hatarishi kama vile “vibanda umiza” au baa mbalimbali kuonyesha michezo bila kuzingatia kanuni za afya kama vile watu kutakiwa kunawa kwa maji tiririka au vipukusi kabla ya kuingia maeneo hayo na kuzingatia ukaaji wa mita moja kutoka mtu mmoja hadi mwingine.
2.0.3 UsalamawaWachezajinaViongozi;
i. Kabla ya Ligi hasa za Soka, Mpira wa Pete, Mpira wa Kikapu, Masumbwi na michezo mingine yenye mashabiki au wachezaji wengi; wachezaji na viongozi wote wa mabenchi ya ufundi wapimwe afya zao isipokuwa tu iwapo wahusika hawana dalili zozote za CoVID-19 au hawajatoka kwenye nchi nyingine za nje zenye maambukizi ya ugonjwa huo ili kujiridhisha na afya zao kabla ya kuingia kambini. Baraza la Michezo la Taifa (BMT) na Waganga Wakuu wa Mikoa/ Wilaya husika watasimamia zoezi hili;
ii. Aidha utaratibu wa kuwapima joto wachezaji na viongozi wengine wanaosimamia timu kila siku za mazoezi na mechi uzingatiwe kwa kusimamiwa na madaktari wa timu husika na wataalamu wengine wa Afya;
4
iii. Wachezaji na viongozi watakaohisiwa/watakaojihisi kuwa na dalili za kuumwa ugonjwa wa Corona watoe taarifa ili waunganishwe na vituo vya matibabu na washiriki tu katika michezo pale hali zao zitakapoimarika.
2.0.4 Mazingira Mengine Wakati wa Mazoezi na Mashindano
i. Iwapo kutakuwa na ruhusa ya kuingia viwanjani, mashabiki hawataruhusiwa kusababisha misongamano wakati wa kuingia viwanjani au ushangiliaji kabla, wakati na baada ya mechi. Wasimamizi wa ligi watachukua hatua kali iwapo kuna mashabiki au wachezaji wa timu itakayokiuka maagizo haya. Aidha, vilabu ambavyo mashabiki wao watakiuka hatua hizi vichukuliwe hatua kwa mujibu wa Kanuni za Ligi;
ii. Inasisitizwa wachezaji kutopeana mikono, kupongezana kwa kukumbatiana na kubadilishana jezi kabla, wakati na hata baada ya mazoezi na mechi;
iii. Inaelekezwa kuwa wachezaji na viongozi wanaokaa kwenye benchi la akiba wazingatie kanuni ya mita moja kuliko kubanana kama ilivyo katika mfumo wa kawaida;
iv. Mahojiano kati ya viongozi, wachezaji na wadau wengine wa michezo mazoezini au viwanjani kabla na baada ya mechi yazingatie Mwongozo wa Kuripoti Habari wakati wa CoVID-19 unaoelekeza kujiepusha na mambo mbalimbali ikiwemo kuzingatia umbali wa mita moja kati ya wahusika na kuangaliwa njia zaidi za kidijiti kuliko mahoniano ya ana kwa ana na wanahabari kuhakikisha wametakasa vifaa vyao na kutowashikisha kifaa chochote wahojiwa ili kuzilinda pande zote;
v. Wakati wa kusafiri viongozi na wachezaji wazingatie taratibu zote za kujikinga ikiwemo kuhakikisha abiria wote wamekaa kwenye viti na kunawa kwa maji tiririka au vipukusi kabla ya kuingia kwenye vyombo vya usafiri;
vi. Watu walio katika hatari zaidi ya maambukizi kama vile wazee, watu wenye magonjwa sugu na magonjwa ya muda mrefu wanashauriwa kutohudhuria
5
viwanjani na badala yake waelekezwe kutazama michezo kupitia televisheni wakiwa nyumbani au kusikiliza kwenye redio au kwenye maeneo yasiyo na mikusanyiko.
2.0.5 Vifaa vya michezo:
i. Vifaa na nyenzo zote zinazotumika wakati wote wa michezo vitatakiwa kusafishwa vyema kwa vipukusi au maji tiririka na sabuni kabla na baada ya mazoezi au mechi. Aidha kwa vifaa ambavyo vitaingizwa kutoka nje ya nchi kwa shughuli za michezo vinalazimika kuthibitishwa usalama wake na Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) na Bohari ya Dawa (MSD) kabla ya kusambazwa na kuanza kutumika nchini;
ii. Vyama mbalimbali vya michezo vinavyoendelea kurejesha michezo mbalimbali vitalazimika kuwasilisha mipango yao kwa BMT na Baraza litashirikisha Waganga Wakuu wa Mikoa/ Wilaya ili kujiridhsiha na namna michezo husika itakavyozingatia Kanuni za Afya na Miongozo mbalimbali ya Afya wakati huu wa CoVID-19 kabla ya kutoa idhini ya kuendelea kwa michezo hiyo;
iii. Serikali kupitia BMT, baada ya kushauriana na wataalamu wa afya, inaweza kutoa maelekezo mengine mahsusi zaidi ya haya kulingana na hali halisi itakavyokuwa ikijitokeza viwanjani au sehemu nyingine za michezo na maelekezo hayo yatapaswa kutekelezwa ipasavyo;
iv. Hatua kali zichukuliwe kwa mujibu wa Sheria za nchi, Sheria inayounda BMT, Kanuni za Ligi mbalimbali zinazosimamia michezo mbalimbali kwa mashirikisho, vyama, viongozi, wachezaji, vilabu au mashabiki na wadau wengine wa michezo watakaokiuka mwongozo huu.
3.0 Mawanda na Kuanza Kutumika Mwongozo:
Mwongozo huu unaohusu Kanuni Muhimu za Kiafya za kuzingatiwa wakati huu wa uwepo wa maambukizi, japo machache, ya ugonjwa wa CoVID-19 hapa nchini, utahusu michezo yote inayoendelea kurejea Tanzania Bara inayoendeshwa na vyama, mabaraza, Kamati, Vilabu au Mashirikisho na asasi nyingine zozote zilizosajiliwa na BMT.
Halikadhalika, Mwongozo huu utakoma kutumika mara tu Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania itakapotangaza kuwa hakuna ugonjwa CoVID-19 nchini, pia utaanza kutumika rasmi kuanzia tarehe ya kusainiwa iliyoainishwa hapa chini.
(Waraka huu umesainiwa Waziri Wa Afya, Maendeleo ya Jamii Jinsia, Wazee Na Watoto, Ummy Ally Mwalimu Waziri Wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison George Mwakyembe)


from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2ZMDzot best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm, lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today, mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma, mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer, mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney, mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390, mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Tweet

Terimakasih anda telah membaca artikel tentang MAMBO YA KUZINGATIA MICHEZONI WAKATI WA MAAMBUKIZI YA CORONA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2020/05/mambo-ya-kuzingatia-michezoni-wakati-wa.html. Terimakasih atas perhatiannya.

Related Posts

di 03.11
Label: BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE

{ 0 komentar... read them below or add one }


Posting Komentar

Posting Lebih Baru Posting Lama Beranda

Popular Posts

  • SIMBA SC INAVYOJIANDAA KUIKABILI POWER DYNAMOS NDOLA
    SIMBA SC INAVYOJIANDAA KUIKABILI POWER DYNAMOS NDOLA
    VIUNGO, Muivory Coast Aubin Kramo Kouamé (kushoto) na José Luis Miquissone wa Msumbiji wakiwa kwenye mazoezi ya Simba leo Uwanja wa Mo Si...
  • Lucky Numbers Promotion: Stand a Chance to Win a Share of R100 000
    Lucky Numbers Promotion: Stand a Chance to Win a Share of R100 000
    Stand a chance to win your share of R100 000 cash! Play R5 or more using your Hollywoodbets account on the selected Lucky Numbers draws an...
  • Lucky Numbers Draw Times & Results
    Lucky Numbers Draw Times & Results
    All the information you need for the 501 Lotto draws offered by Hollywoodbets for Lucky Numbers and Powa Numbas betting! Get closing times...
  • MOHAMED SALAH ANAVYOFURAHIA MAISHA LIVERPOOL
    Kiungo Mohamed Salah akifurahia kwenye mazoezi ya Liverpool leo Uwanja wa  Melwood kujiandaa na mchezo wa ufunguzi wa Ligi Kuu ya England ...
  • PGA Tour: The Sony Open Preview
    We take a look at the Sony Open set to take place between 11 January and 14 January at the Waialae Country Club.  With news of Tiger Woods...
  • UK Racing Best Bets - Saturday 28 September 2019
    UK Racing Best Bets - Saturday 28 September 2019
    Neil Morrice walks you through the front runners for Saturday's feature races at Cambridgeshire, Newmarket and the Cheveley Park Stake...
  • TAIFA STARS KUINGIA KAMBINI JUMAMOSI HOTELI YA WHITE SANDS MAANDALIZI YA AFCON
    TAIFA STARS KUINGIA KAMBINI JUMAMOSI HOTELI YA WHITE SANDS MAANDALIZI YA AFCON
    Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM TIMU ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars itaingia kambini Juni 1 katika hoteli ya White Sands mjini ...
  • Daily Predictor Game: Stand A Chance To Win Your Share of R10 000 In Cash And Betting Vouchers
    Daily Predictor Game: Stand A Chance To Win Your Share of R10 000 In Cash And Betting Vouchers
    Stand a chance to win your share of R10 000 in cash and betting vouchers by playing our new Daily Predictor Game. R200 betting vouchers da...
  • Erwee now very earnestly knocking on the Proteas door
    Erwee now very earnestly knocking on the Proteas door
    It may be very early days in the South African domestic season but Hollywoodbets Dolphins opener Sarel Erwee has put his hand up with the f...
  • Vaal Thursday 29 September 2016 Best Bets
    Winning Form brings you their best tips for Vaal's racing on Thursday 29th of September 2016. Comments, images and betting and are pro...
Copyright Viral Sports: MAMBO YA KUZINGATIA MICHEZONI WAKATI WA MAAMBUKIZI YA CORONA