Na Mwandishi Wetu, LIVERPOOL
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta usiku wa jana amecheza kwa dakika 63, Aston Villa ikilazimishwa sare ya 1-1 na wenyeji, Everton Uwanja wa Goodison Park Jijini Liverpool.
Samatta, mchezaji wa zamani wa African Lyon na Simba za Tanzania, alitoka dakika ya 63 kumpisha KeinanDavis, wakati huo timu hizo bado hazijafungana.
Na akiwa benchi, Samatta akashuhudia Aston Villa ikitangulia kwa bao la Ezri Konsa dakka ya 72 akimalizia pasi ya Conor Hourihane kabla ya Theo Walcott kuisawazishia Everton dakika ya 87 akimalizia pasi ya Andre Gomes.
Sasa Aston Villa inafikisha pointi 31 baada ya kucheza mechi 36, ingawa inabaki nafasi ya 19, ikizidiwa wastani wa mabao tu na AFC Bournemouth inayoshika nafasi ya 18.
Kikosi cha Everton kilikuwa: Pickford, Coleman, Keane, Holgate/Branthwaite dk15, Digne, Iwobi/Walcott dk61, Gomes, Davies, Bernard/Gordon dk61, Richarlison/Kean dk73, Calvert-Lewin.
Aston Villa: Reina, El Mohamady, Konsa, Mings, Targett, McGinn, Luiz, Hourihane, Trezeguet/El Ghazi dk63, Grealish, Samatta/Davis dk63.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/398lS5p
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms