Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
KLABU ya Azam FC imekamilisha usajili wa mshambuliaji wa kimataifa wa Zimbabwe, Prince Dube kutoka Highlanders FC ya Bulawayo, nchini kwao.
Dube ambaye ni mmoja ya washambuliaji hatari Zimbabwe, akiwa kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya nchi hiyo cha wachezaji wa ndani, ambaye anakuja Azam FC kuongeza nguvu kwenye eneo la ushambuliaji.
Benchi la ufundi la Azam FC chini ya Kocha Mkuu, Aristica Cioaba, limeridhishwa kwa kiasi kikubwa na uwezo wake kwa muda wote waliomfuatilia hadi kuamua kumsajili.
Huo unakuwa usajili wa saba kwenye kikosi cha Azam FC, katika dirisha hili la usajili kwa ajili ya msimu ujao, wengine wakiwa ni kipa David Kissu, beki wa kushoto Emmanuel Charles.
Wachezaji wengine walioongezwa ni kiungo mkabaji, Ally Niyonzima, viungo washambuliaji, Awesu Awesu, Ismail Aziz na Ayoub Lyanga.
Zoezi letu la usajili tutalifunga hivi karibuni kwa kumsajili mshambuliaji mwingine wa kimataifa.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/320TkaT
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms