Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
KIUNGO nyota, Mzimbabwe Never Tigere amesaini mkataba mpya wa miaka miwili kendelea na kazi katika klabu ya Azam FC ya Dar es Salaam.
Mkataba huo utamfanya kuendelea kusalia kwa wababe hao wa Chamazi hadi mwaka 2022.
Tigere amekuwa na kiwango kizuri msimu uliopita, akisajiliwa kwenye dirisha dogo la usajili akitokea Platinum ya Zimbabwe, na kufanikiwa kufunga mabao manne katika Ligi Kuun ya Tanzania Bara, mawili kati ya hayo akitupia kwa mikwaju ya adhabu ndogo, na kuchangia pasi mbili.
Wakati huo hu: Timu ya Azam FC itatambulisha kikosi chake cha msimu ujao kwa mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo FC Jumapili kwenye Tamasha la Azam FC Festival Uwanja wa Azam Complex.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2Q9OVNp
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms