Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
KLABU ya Azam FC kesho Jumapili asubuhi itaifungua Wiki ya Chamazi Uwanja wa Azam Complex, itakayohitimishwa kwa Tamasha kubwa la Azam FC Festival Agosti 23 mwaka huu.
Wiki ya Chamazi itaanza kwa mbio za Jogging mapema asubuhi zitakazomalizikia uwanjani Azam Complex kabla zoezi rasmi la ufunguzi kufanyika saa 4.00 asubuhi.
Mara baada ya ufunguzi huo kutakuwa na mechi za vyombo mbalimbali vya habari, zitakazofanyika kwenye Uwanja wa Azam Complex.
Tamasha la Azam FC Festival ni kwa ajili ya mashabiki wote wa wa timu hiyo na wa soka kwa ujumla kutoka sehemu mbalimbali nchini.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2E8bf7a
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms