Wachezaji wa Azam FC kutoka kulia, beki Aggrey Morris, kiungo Iddi Suleiman 'Nado', mshambuliaji Mzambia Obrey Chirwa na kiungo Mzimbabwe, Never Tegere wakiwa wamevaa jezi mpya za klabu hiyo za msmu mpya ambazo tayari zinapatikana sokoni kwa kwa bei poa kabisa ya Sh. 20,000 kwenye duka la klabu la Kariakoo 'Azam FC Sports Shop' na uwanjani Azam Complex. Jezi nyeupe itakuwa ya nyumbani, bluu itakuwa ya ugenini huku ya orange ikiwa ya ziada (neutral).
Mara baada ya uzinduzi, jezi zimeanza kuuzwa leo Uwanja wa Azam Complex na pia zitapatikana dukani la klabu, Kariakoo, Dar es Salaam
Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wilfred Kidau, akitambulisha jezi rasmi za Azam FC za msimu ujao. Kidau mbali na kutambulisha jezi pia ndiye aliyekuwa mgeni rasmi wa wiki ya Chamazi iliyoanza rasmi leo, ambayo itaitimika Jumapili ijayo kwa Tamasha la Azam Festival.
Wiki ya Chamazi ndani ya Azam Complex.
Wiki ya Chamazi ndani ya Azam Complex.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/345Vo40
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms