Cristiano Ronaldo (kushoto) akishangilia na Diogo Jota baada ya kuifungia Ureno bao la sita dakika ya 85 katika ushindi wa 7-0 dhidi ya Andorra kwenye mchezo wa kirafiki usiku wa jana Uwanja wa Luz, Lisbon kwenye mchezo wa kirafiki. Ronaldo mwenye umri wa miaka 35, amefikisha mabao 102, sasa akizidiwa saba na Ali Daei wa Iran katika anayeongoza kufunga mabao mengi kwenye mechi za kimataifa. Mabao mengine ya Ureno yalifungwa na Pedro Neto dakika ya nane, Paulinho dakika ya 29 na 61, Renato Sanches dakika ya 56, Emili Garcia aliyejifunga dakika ya 76 na Joao Felix dakika ya 88 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/38zooU4
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms