MABAO ya Erling Haaland mawili na Jadon Sancho moja usiku wa jana yaliipa Borussia Dortmund ushindi wa 3-1 dhidi ya RB Leipzig ambayo bao lake lilifungwa na mtokea benchi Alexander Sorloth katika mchezo wa Bundesliga Uwanja wa Red Bull Aren.
Leipzig walihitaji ushindi ili kupanda kileleni kufuatia Bayern Munich kufungwa 3-2 na Borussia Moenchengladbach Ijumaa, hivyo sasa wanaendelea kuwa nyuma ya mabingwa hao watetezi kwa pointi moja baada yua kipigo hicho cha kwanza cha nyumbani msimu huu.
Dortmund wanasogea nafasi ya nne wakizidiwa pointi tatu na Leipzig baada ya ushindi huo wa tatu katika mechi nne chini ya kocha mpya, Edin Terzic PICHA ZAIDI GONGA HAPA
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2LzkdhM
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang HAALAND APIGA MBILI DORTMUND YAICHAPA RB LEIPZIG 3-0. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2021/01/haaland-apiga-mbili-dortmund-yaichapa.html. Terimakasih atas perhatiannya.