KOCHA wa Real Madrid, Zinedine Zidane amesema kwamba mechi yao ya La Liga dhidi ya wenyeji Osasuna iliyomalizika kwa sare ya bila mabao jana Uwanja wa El Sadar ilipaswa kuahirishwa baada ya Los Blancos kuchelewa kufika kutokana na matatizo ya usafiri.
Real Madrid sasa wanazidiwa pointi moja tu na Atletico Madrid (38-37) ambao hata hivyo wana mechi tatu mkononi baada ya mechi yao ya jana pia dhidi ya Athletic Bilbao kuahirishwa kutokana na matatizo ya usafiri pia.
Ndege za Madrid zilichelewa kwa saa kadhaa kutokana na Uwanja wa Ndege wa Jiji hilo kufungwa kwa muda na utaendelea kufungwa hadi angalau leo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/3q6YfBz
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang ZIDANE ALALAMIKA MECHI YA REAL NA OSASUNA KUTOAHIRISHWA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2021/01/zidane-alalamika-mechi-ya-real-na.html. Terimakasih atas perhatiannya.