TIMU ya Juventus imeichapa AC Milan 3-1 katika mchezo wa Serie A Uwanja wa Giuseppe Meazza mjini Milan. Mabao ya Juventus yamefungwa na Federico Chiesa mawili dakika za 18 na 62 na Weston McKennie dakika ya 76, wakati bao pekee la AC Milan lilifungwa na David Calabria dakika ya 41. Pamoja na kichapo hicho, Milan inabaki kileleni kwa pointi zake 37 baada ya mechi 16, wakati Juventus sasa ni ya nne ikifikisha pointi 30 baada ya kucheza mechi 15 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2Lqm6gv
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang JUVENTUS YAICHAPA AC MILAN 3-1 PALE PALE GIUSEPPE MEAZZA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2021/01/juventus-yaichapa-ac-milan-3-1-pale.html. Terimakasih atas perhatiannya.