KIUNGO mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Simon Happygod Msuva jana amecheza kwa dakika 86 kabla ya kumpisha Zouheir El-Moutaraji, Wydad Athletic Club, maarufu Wydad Casablanca ikiibuka na ushindi wa 3-0 dhidi ya Stade Malien de Bamako katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika Uwanja wa Mohamed V Jijini Casablanca.
Mabao ya Wydad yalifungwa na A. El Kaabi dakkika ya 43, Muaid Ellafi dakika ya 46 na 64 na kwa ushindi huo Wydad inaingia hatua ya makundi kwa ushindi wa jumla wa 3-1 baada ya kuchapwa 1-0 kwenye mchezo wa kwanza Mali.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2JVEgXc
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms