TIMU ya Arsenal jana imeifunga Leeds United 4-2 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Emirates, London.
Nahodha Pierre-Emerick Aubameyang alifunga matatu dakika ya 13 akimalizia pasi ya Granit Xhaka, dakika ya 41 kwa penalti na 47 akimalizia pasi ya Emile Smith Rowe, wakati lingine limefungwa na Hector Bellerin dakika ya 45 na ya Leeds yamefungwa na Pascal Struijk dakika ya 58 na Helder Costa dakika ya 69.
Arsenal inafikisha pointi 34 baada ya kucheza mechi 24 na kusogea nafasi ya 10, wakati Leeds inayobaki na pointi zake 32 za mechi 23, inashukia nafasi ya 11 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/3poOBcN
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang AUBAMEYANG APIGA HAT TRICK ARSENAL YAICHAPA LEEDS 4-2. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2021/02/aubameyang-apiga-hat-trick-arsenal.html. Terimakasih atas perhatiannya.