KIKOSI cha Simba SC kimerejea jana Jijini Dar es Salaam kutoka Kinshasa, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) ambako Ijumaa walipata ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, AS Vita katika mchezo wa kwanza wa hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika.
Mabingwa hao wa Tanzania wanatarajiwa kuunganisha safari kwenda Musoma mkoani Mara kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya wenyeji, Biashara United Alhamisi ijayo Uwanja wa Karume.
Baada ya mechi hiyo watarudi Dar es Salaam kucheza mechi yake ya pili Kundi A Ligi ya Mabingwa dhidi ya mabingwa watetezi, Al Ahly Februari 23 Uwanja wa Benjamin Mkapa.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/3jSYEG2
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms