RAIA wa Afrika Kusini, Dk. Patrice Motsepe amechaguliwa kuwa Rais wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF) katika Mkutano Mkuu wa 43 wa CAF uliofanyika jana Jijini Rabat, Morocco.
Dk Motsepe, ambaye anakuwa Rais wa saba wa CAF, ambaye ataliongoza shirikisho hilo kwa miaka minne ijayo baada ya kupita bila kupingwa kufuatia kujitoa kwa Augustin Senghor, Ahmed Yahya na Jacques Anouma.
Rais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), Mtaliano Gianni Infantino aliyehudhuria uchaguzi huo Jijini Rabat alizitaka nchini wanachama wa CA kuendeleza umoja waliouonyesa wiki chache zilizopita.
Dk. Motsepe, mwenye umri wa miaka 59, ni mfanyabiashara mkubwa Afrika Kusini, ambayepia ni mfadhili na si mgeni mwenye soka.
Kwa miongo takriban miwili, amekuwa Rais wa klabu uya Mamelodi Sundowns ya kwao, Afrika Kusini.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2PZPmgt
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang DK PATRICE MOTSEPE WA AFRIKA KUSINI NDIYE RAIS MPYA WA CAF. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2021/03/dk-patrice-motsepe-wa-afrika-kusini.html. Terimakasih atas perhatiannya.