MABAO ya Iddi Suleiman 'Nado' dakika ya tisa na 90 na Ayoub Lyanga dakika ya 52 jana yaliipa Azam FC ushindi wa 3-0 dhidi ya Ihefu SC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.
Azam FC inafikisha pointi 44 baada ya kucheza mechi 24, ingawa inabaki nafasi ya tatu ikizidiwa pointi mbili na mabingwa watetezi, Simba SC ambao pia wana mechi nne mkononi.
KMC inafikisha pointi 35 baada ya ushindi huo katika mchezo wa 24 pia, ingawa inabaki nafasi ya tano ikizidiwa pointi nne na Biashara United inayshika nafasi ya nne.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2N9ZHVV
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms