Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
TIMU ya wanawake ya Simba, Simba Queens leo imeibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya watani wao, Yanga Princess katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania Bara Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam.
Kwa ushindi huo, Queens ambao ni mabingwa watetezi wanapanda kileleni, wakifikisha 39, moja zaidi ya Princess baada ya wote kucheza mechi 15 katika ligi ya timu 12, wakati JKT Queens yenye pointi 36 inabaki nafasi ya tatu.
Ikiongozwa na kocha Mussa Hassan Mgosi, mchezaji nyota wa zamani wa timu ya wanaume, Simba Queens ilipata mabao yake kupitia kwa Mwanahamisi Omary ‘Gaucho’ dakika ya 30, Opa Clement Sanga dakika ya 43 kwa penalti na Mkongo Joel Bukuru dakika ya 50.
Yanga Princess inayofundishwa na mchezaji nyota wa zamani wa timu yake ya wanaume, Mohammed Hussein ‘Mmachinga’ ilimaliza pungufu baada ya beki wake, Happyness Mwaipaja kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 43 kufuatia kuzuia mpira kwa mkono kwenye boksi na kusababisha penalti iliyowapa bao la pili wapinzani.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/3rnwcPj
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms