KIUNGO mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Simon Msuva jana amefunga bao moja klabu yake, Wydad Casablanca ikiibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya Horoya ya Guinea katika mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Horoya ya Guinea Uwanja wa Mohamed V Jijini Casablanca, Morocco.
Msuva, nyota wa zamani wa klabu ya Yanga ya nyumbani, Tanzania alifunga bao hilo dakika ya 90 akimalizia Ayoub El Kaabi, aliyefunga bao la kwanza dakika ya 19 kwa pasi ya mshambuliaji mwenzake Mmoroco, Walid El Karti.
Kwa ushindi huo, Wydad inafikisha pointi tisa na kuendelea kuongoza Kundi C, ikifuatiwa na Horoya yenye pointi nne sawa na Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini wakati Petro Atletico ya Angola inashika mkia ikiwa haina pointi baada ya wote kucheza mechi tatu.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2OvHORG
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms