WENYEJI, Kenya wameibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya Tanzania katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa jioni ya leo Uwania wa Nyayo Jijini Nairobi.
Mshambuliaji Eric Kapaito alianza kuifungia Harambee Stars dakika ya 21, kabla ya kiungo wa Azam FC, Ayoub Lyanga kuisawazishia Taifa Stars dakika ya 39.
Lakini beki Abdallah Hassan akawafungia Wakenya bao la ushindi dakika ya 58 katika mchezo huo maalum kwa timu zote kujiandaa na mechi mbili za mwisho za kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika mwakani Cameroon.
Timu hizo zitarudiana Alhamisi Saa 1:00 usiku Uwanja wa Kasarani, hapo hapo Nairobi.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/3teCUb0
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms