Kiungo Muzamil Yassin akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Simba SC mabao mawili, moja kila kipindi katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Toto Africans ya Mwanza kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Bao lingine la Simba SC lilifungwa na Mrundi, Laudit Mavugo kipindi cha pili.
Mpishi wa bao la kwanza la Simba SC, Frederick Blagnon (kulia) akimtoka beki wa Toto Yussuf Mgeta (kushoto)
Beki wa Simba, Mohammed Hussein 'Tshabalala' akipiga kichwa mbele ya mchezaji wa Toto, Soud Mohammed
Kiungo wa Simba SC, Muzamil Yassin akimtoka beki wa Toto, Salum Chuku
Winga wa Simba, Shizza Kichuya akimtoka Salum Chuku wa Toto
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2eHtDmJ
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang SIMBA YA MWAKA HUU ISIKIE TU, TOTO LA YANGA LIMEKUFA 3-0. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2016/10/simba-ya-mwaka-huu-isikie-tu-toto-la.html. Terimakasih atas perhatiannya.