Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
MSHAMBULIAJI wa Medeama SC ya Ghana, Bernard Ofor yuko mbioni kujiunga na Azam FC ya Dar es Salaam baada ya makubaliano ya awali.
Mchezaji huyo wa zamani wa New Edubiase United ameondoka Ghana jana na anatarajiwa kuwasili Dar es Salaam leo kumalizana washindi hao wa Ngao ya Jamii.
Bernard Ofor anakuja Dar es Salaam kujiunga na klabu ya Azam FC kutoka Medeama SC ya Ghana
Akifanikiwa kusaini Azam FC, Ofori ataungana na wachezaji wengine wawili wa Medeama SC waliojiunga na Azan FC, ambao ni winga Enoch Atta Agyei na mshambuliaji Daniel Amoah.
Amoah amekwishajiunga na kikosi cha Azam FC kilicho chini ya kocha Mkuu, Mspaniola Zeben Hernandez Rodriguez wakati Agyei atajiunga na timu hiyo Januari atakapofikisha umri wa miaka 18.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2fjQjsW
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang STRAIKA LA MEDEAMA LAJA KUONGEZA NGUVU AZAM FC. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2016/11/straika-la-medeama-laja-kuongeza-nguvu.html. Terimakasih atas perhatiannya.