Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
KOCHA wa Yanga, Mholanzi Hans van der Pluijm amesema atawakosa walinzi wake wawili tegemeo, Mkongo Mbuyu Twite na Mtogo Vincent Bossou katika mchezo wa kesho dhidi ya Ruvu Shooting.
Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara itaendelea kesho kwa mechi tatu na mabingwa watetezi, Yanga SC watakuwa wenyeji wa Ruvu Shooting Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Simba watakuwa wageni wa Prisons Mbeya na Azam FC wataifuata Mwadui huko Shinyanga.
Mbuyu Twite atakosekana kesho Yanga ikimenyana na Ruvu Shooting kwa sababu atakuwa anatumikia adhabu ya kadi
Kuelekea mchezo huo, kocha Mholanzi Hans van der Pluijm amesema kwamba anasikitika atawakosa beki anayeweza kucheza kama kiungo pia, Twite na beki wa Kati Bossou.
Pluijm amesema kwamba Twite atakuwa anatumikia adhabu ya kadi, wakati Bossou amerejea kwao kuichezea timu yake ya taifa, Togo katika mechi za kimataifa zinazoanza katikati ya wiki hadi mwishoni mwa wiki
“Tunachezaji na Ruvu Shooting katika mchezo mwingine wa lazima kushinda. Tutawakosa majeruhi Juma Abdul, Mbuyu Twitte ana kadi na Vincent Bossou amekwenda timu ya taifa ya Togo,”amesema Pluijm.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2ehpZTz
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang YANGA KUWAKOSA BOSSOU, TWITE MECHI NA RUVU SHOOTING KESHO. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2016/11/yanga-kuwakosa-bossou-twite-mechi-na.html. Terimakasih atas perhatiannya.