Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
UONGOZI wa Azam FC imekubali kumuongeza mkataba wa mwaka mmoja kocha wake mkuu, Mromania Aristica Cioba.
Cioba ambaye alipewa jukumu la kukino kikosi cha timu hiyo mwanzoni mwa mwaka huu kwa mtabata wa miezi sita ambao unaishi mwishoni mwa msimu huu wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
Akizungumza na Bin Zubeiry Sports - Online jana, Mwenyekiti wa timu hiyo, Nassor Idrissa ' Father' amesema wamekutana na kocha huyo baada ya kumalizika kwa mechi yao na Simba kwa ajili ya mazungumzo ya mkataba mpya.
Azam FC imekubali kumuongeza mkataba wa mwaka mmoja kocha wake mkuu, Aristica Cioba
Alisema tayari Cioba amekubali kuongeza mkataba wa mwaka mmoja ambapo ataendelea kukinoa kikosi hicho kwa msimu mwingine ujao.
"Tulikutana na Kocha wetu, tukamsikiliza kama yupo tayari kuendelea na sisi au laa, amekubali hivyo baada ya kumalizika kwa ligi atasaini mkataba mpya," alisema Father.
Alisema suala la wachezaji ambao wamemaliza mikataba yao wapo katika mazungumzi akiwemo Gadiel Michael.
" Kuhusu wachezaji wa kigeni hilo lipo kwa benchi la ufundi, kwani tunasubiri mapendekezo ya mwalimu kama kuna wachezaji atawahitaji tutaendelea nao na wale ambao hapo katika mipango yake watatusamehe," alisema Mwenyekiti huyo.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2qcTM5h
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang AZAM KUMUONGEZEA MKATABA KOCHA WAKE MROMANIA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/05/azam-kumuongezea-mkataba-kocha-wake.html. Terimakasih atas perhatiannya.