TIMU ya Cameroon imetupwa nje ya Fainali za Vijana Afrika chini ya umri wa miaka 17, licha ya ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Gabon kwenye mchezo wa Kundi A leo Uwanja wa Port Gentil.
Ushindi huo haujatosha kuwafanya wabaki kwenye mashindano na kukata tiketi ya Fainali za Kombe la Dunia za FIFA U-17 Oktoba mwaka huu nchini India, baada ya Guinea kulazimisha sare ya bila kufungana na Ghana katika mchezo mwingine wa Kundi A leo mjini Libreville.
Wachezaji wa Cameroon na Gabon wakiwania mpira wa juu leo
Cameroon inaungana na Gabon kuaga mashindano baada ya hatua ya makundi, kutokana na kumaliza nafasi ya tatu mbele ya wenyeji, walioshika mkia, huku Guinea ikimaliza nafasi ya pili kwa pointi zake tano na kuungana na Ghana iliyoongoza Kundi kwa pointi zake saba kwenda Nusu Fainali.
Sasa Ghana na Guinea zitasubiri mechi za mwisho za Kundi B kesho kujua wapinzani wao wa Nusu Fainali.
Tanzania itamenyana na Niger mjini Port Gentil na Mali itamalizana na Angola mjini Libreville. Mali na Tanzania zinafungana kwa pointi nne kila mmoja, mabao mawili ya kufunga na moja la kufungwa baada ya kushinda, wakati Angola na Niger zina pointi moja kila mmoja.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2q7BaPP
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang CAMEROON YATUPWA NJE FAINALI ZA U-17 AFRIKA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/05/cameroon-yatupwa-nje-fainali-za-u-17.html. Terimakasih atas perhatiannya.