Na Mahmoud Zubeiry, PORT GENTIL
MAREFA wa Afrika Magharibi watupu wamepangwa kuchezesha mechi ya mwisho ya Kundi B Fainali za Vijana Afrika chini ya umri wa 17 kati ya Tanzania na Niger kesho Uwanja wa Port Gentil, Gabon.
Marefa hao ni Daniel Nii Ayi Laryea wa Ghana atakayepuliza filimbi, akisaidiwa na washika vibendera Seydou Tiama wa Burkina Faso na Mamady Tere wa Guinea katika mchezo utakaoanza Saa 12:30 kesho.
Tanzania inahitaji sare tu kujihakikishia kwenda Nusu Fainali na pia kufuzu Kombe la Dunia baada ya sare ya 0-0 na mabingwa watetezi, Mali na ushindi wa 2-1 dhidi ya Angola ambazo nazo zitamenyana kesho muda huo huo Uwanja wa l’Amittiee mjini Libreville.
Mechi za Kundi A zitaanza kuhitimishwa leo na Cameroon itajaribu kuungana na Ghana kufuzu Nusu Fainali, itakapomenyana na vibonde wenzao, wenyeji Gabon kuanzia Saa 12:30 jioni Uwanja wa Port Gentil.
Cameroon watahitaji kuifunga Gabon leo baada ya kufungwa 4-0 na Ghana na kutoa sare ya 1-1 na Guinea katika mechi zake zilizotangulia, huku wakiiombea dua mbaya Guinea ifungwe na Black Starlets ili wao waende Nusu Fainali. Ghana na Guinea zitamenyana kuanzia Saa 12:30 pia Uwanja wa l’Amittie mjini Libreville.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2qDvy3V
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms