Arsene Wenger akiwa amejiinamia Uwanja wa Emirates leo licha ya ushindi wa 3-1 dhidi ya Everton katika mchezo wa Ligi Kuu ya England, kwa sababu haijamsaidia kupata nafasi ya kucheza Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kumaliza katika nafasi ya tano, nyuma ya Liverpool, nafasi ya nne, Manchester City ya tatu, Tottenham Hotspur ya pili na Chelsea waliotwaa ubingwa. Mabao ya Arsenal yamefungwa na Hector Bellerin dakika ya nane, Alexis Sanchez dakika ya 27 na Aaron Ramsey dakika ya 90 na ushei, wakati la Everton limefungwa na Romelu Lukaku dakika ya 58 kwa penalti. Laurent Koscielny alitolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 14 baada ya kumchezea rafu Enner Valencia na atakosa fainali ya Kombe la FA dhidi ya Chelsea PICHA ZAIDI GONGA HAPA
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2qIuoUw
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms