Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
BODI ya Ligi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imewajibu rasmi Simba SC juu ya kupokonywa pointi tatu za mezani walizopewa baada ya rufaa yao dhidi ya Kagera Sugar mwezi uliopita.
Simba ilifungwa 2-1 na Kagera Sugar Aprili 2, mwaka huu Uwanja wa Kaitaba, Bukoba katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.
Hata hivyo, baada ya mchezo huo, Simba ikakata rufaa Bodi ya Ligi ikidai Kagera Sugar walimchezesha kimakosa beki Mohammed Fakhi kwa sababu alikuwa ametoka kuonyeshwa kadi tatu za njano.
Simba ilifungwa 2-1 na Kagera Sugar Aprili 2, mwaka huu Uwanja wa Kaitaba, Bukoba katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara
Bodi ya Ligi ikalipeleka suala hilo Kamati ya Usimamizi na Uendeshaji wa Ligi, maarufu kama Kamati ya Saa 74 ambayo iliipa ushindi Simba.
Hata hivyo, Kagera Sugar wakapeleka malalamiko yao TFF wakidai mchezaji wao hakuwa na kadi tatu na Kikao cha Kamati ya Katiba Sheria na Hadhi za Wachezaji kikabatilisha maamuzi ya Kamati ya Saa 72 na matokeo ya Uwanjani yakabaki kama yalivyokuwa.
Lakini wiki hii, Rais wa Simba, Evans Aveva akasema wanataka kusonga mbele kudai haki yao, lakini wanashindwa kwa sababu hawajapewa barua ya maamzi hayo.
Na kukata mzizi wa fitina, leo Bodi kupitia kwa Mwenyekiti wake, Hamad Yahya imeipa barua Simba kuwataarifu kuwa wamepokonywa pointi za mezani.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2qM09K5
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang SIMBA WAPEWA BARUA KUJULISHWA KUPOKONYWA POINTI ZA KAGERA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/05/simba-wapewa-barua-kujulishwa.html. Terimakasih atas perhatiannya.