MSHAMBULIAJI Diego Costa amesema kwamba kwa sasa anajiandaa kuondoka Chelsea baada ya kuambiwa na kocha Antonio Conte hahitajiki kwenye klabu.
Costa amesema Conte amemtumia ujumbe wa maandishi kwenye simu akimuambia kwamba hamtaki tena katika klabu na sasa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28 anataka kuondoka Stamford Bridge kurejea Atletico Madrid, lakini adhabu ya zuio la kusajili kwa klabu yake hiyo ya zamani ndiyo kikwazo.
Chelsea inamtaka mshambuliaji wa Everton, Romelu Lukaku, ambaye yuko tayari kurejea klabu yake ya zamani na wako tayari kumuuza Costa ili kuongezea fedha katika dau la Pauni Milioni 100 zinazotakiwa.
Diego Costa amesema ametumiwa ujumbe wa maandishi kwa simu na Antonio Conte kumuambia hamhitaji tena Chelsea PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Timu ya zamani ya Costa, Atletico Madrid iko tayari kumrejesha shujaa wake, lakini wamefungiwa kusajili wachezaji wapya hadi Januari 2018.
Na mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Hispania, Costa atalazimika kuangalia ofa nyinginem baada ya kutofautiana na Conte mwezi Januari juu ya mchezaji huyo kutikuwa fiti jwa mchezo.
Lakini pia mchezaji huyo amekuwa akitakiwa Tianjin Quanjian ya Ligi Kuu ya China, ingawa mwenyewe amekuwa akisema wakati wote ataipa uzito ofa ya kurejea Atletico.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2rNX64Q
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms