MAGWIJI wa Manchester United watarejea Uwanja wa Old Trafford Jumamosi ya Septemba 2, mwaka 2017 kwa mechi dhidi ya magwiji wa Barcelona itakayoanza Saa 9:00 Alasiri.
Tovuti rasmi ya Man United imeandika kwamba katika mchezo huo, Andrew 'Andy' Cole atarejea kama Kocha Msaidizi wa Bryan Robson na anatarajiwa kujichanganya na waxchezaji.
"Sitakuwa nawafokea tu wachezaji kwenye benchi, lakini nitakuwa nawahamasisha na kucheka nao. Itakuwa siku nzuri," alisema Cole.
Kikosi hicho kinawahusisha Quinton Fortune, Edwin van der Sar, Paul Scholes, Denis Irwin, Dwight Yorke, Phil Neville, Ronny Johnsen, Louis Saha, Mikaël Silvestre, Jesper Blomqvist na Dion Dublin.
Upande wa timu ya Katalunya itakayoongozwa na kocha Jose Mari Bakero, kitakuwa na wakali wa zamani kama Gaizka Mendieta, Eric Abidal, Miguel Angel Nadal, Gheorghe Popescu, Andoni Goikoetxea na Julio Salinas.
Tukio hilo litahusisha burudani ya muziki pia kutoka vikundi na wasanii mbalimbali pamoja na sherehe za kifamilia nje ya Uwanja.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2sVTIo6
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms