MSHAMBULIAJI Romelu Lukaku amewaambia washauri wake kufuatilia uwezekano wa kurejea Chelsea msimu ujao.
Mwanasoka huyo wa kimataifa wa Ubelgiji anataka kuondoka Everton, huku Manchester United piaa nayo ikiwania saini yake.
Lakini Lukaku amemuambia Mino Raiola nia yake ni kurejea Chelsea, klabu aliyoondoka kwa ada ya uhamisho ya Pauni Milioni 28 mwaka 2014.
"Kubaki Everton si suluhisho tena kwa msimu ujao. Naendelea kutulia," amesema Lukaku mwenye umri wa miaka 24. "Hakuna kinachoendelea katika klabu (Everton) kwa sasa, wakala wangu ametingwa na mijadala,".
Romelu Lukaku amewaambia washauri wake kushughulikia maongo wa kurejea Chelsea msimu ujao PICHA ZAIDI GONGA HAPA
"Siendi kufanya maamuzi makubwa kuhusu mustakabali wangu, lakini nafahamu wapi nataka kucheza: katika klabu ambayo inawania taji la Ligi ya Mabingwa na inaweza kushinda mataji England,"amesema.
"Kwa sasa tupo kwenye mazungumzo na klabu na ninaangalia mbele. Wakala wangu anafahamu nini kitatokea na ninafahamu pia. Kazi bado inatakiwa kufanywa kabla ya Lukaku kutimiza matarajio yake,".
Kikwazo kinatarajiwa kuw ada ambayo Everton itataka kumuuza Lukaku kurudi Chelsea, Pauni Milioni 100 ambayo itakuwa ni dau la rekodi ya dunia. Kukubaliana kwenye vipengele binafsi haitasumbua.
"Naendelea kuwa mtulivu na tuna makubaliano na klabu pia,"alisema. "Ninakwenda kupumzika kwa siku chache na kisha kujiandaa kwa msimu ujao. Nataka kupata muda wa kupumzika, kubadilisha kila kitu katika kiwango kingine na kuwa bora zaidi ya nilivyokuwa mwaka jana. bado tumetulia na angalau tuna mwelekeo wapi tunataka kwenda,".
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2r4aIHg
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang LUKAKU AWAPITA WIMA MAN UNITED, ANATAKA KURUDI CHELSEA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/06/lukaku-awapita-wima-man-united-anataka.html. Terimakasih atas perhatiannya.