Na Princess Asia, DAR ES SALAAM
MSHAMBULIAJI wa zamani wa kimataifa wa Tanzania, Athumani Machuppa ameshauri Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) litafute kocha wa kiwango cha juu kwa ajili ya timu ya taifa, Taifa Stars, kwani Salum Mayanga peke yake hawezi.
Ushauri huo wa mchezaji huyo wa zamani wa Simba ya nyumbani na Vasalunds IF ya Sweden, unafuatia Taifa Stars kulazimishwa sare ya 1-1 na Mamba wa Lesotho katika mchezo wa kwanza wa Kundi L kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika mwaka 2019 Cameroon.
Katika mchezo huo uliofanyika Uwanja wa Azan Complex, Chamazi, Dar es Salaam, Stars ilitangulia kwa bao la Nahodha wake, Mbwana Ally Samatta dakika ya 27 kwa shuti zuri la mpira wa adhabu, kabla ya Mamba kusawazisha kupitia kwa Thapelo Tale dakika ya 34.
Athumani Machuppa ameishauri TFF itafute kocha mkubwa wa kuiongoza Taifa Stars
Na mara tu baada ya mchezo, Machuppa akaposti katika ukurasa wake wa Facebook; “Kwani kuna ubabaishaji gani kutafuta kocha wa maana mwenye Cv za Kutosha....timu yetu haichezi kitimu, hatujui mashambulizi yaanzie wapi, kiongozi wetu pekee Mbwana Ally Samatta,”alisema.
“Natamani kuona tunapata kocha mkubwa, ambaye atasaidiana na Mayanga, kikosi cha Stars cha mechi ya mwisho kilikuwa kizuri mno kiwango chao, lakini sielewi...nimebahatika kuangalia mechi kipindi kimoja cha mwisho, ila mapungufu ni mengi mno,”aliongeza.
Machuppa aliyekuwemo kwenye kikosi cha Taifa Stars kilichotwaa Kombe ka CECAFA Castle mwaka 2002 Mwanza, amesema kwamba kama Tanzania tuna mpango wa kwenda fainali za AFCON 2019 tuamke kabla jua halijakuchwa.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2sgm8Nm
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang MACHUPPA ASHAURI TFF ITAFUTE KOCHA MKUBWA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/06/machuppa-ashauri-tff-itafute-kocha.html. Terimakasih atas perhatiannya.