Na Innocent Okama, DAR ES SALAM
SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF), limetangaza wamuzi wa mchezo kati ya Tanzania 'Taifa Stars' na Lesotho 'Mamba' unaotarajiwa kufanyika Jumamosi Juni 10, mwaka huu kwenye Uwanja wa Azam ulioko Chamazi, Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa CAF, waamuzi hao ni Abdillah Mahamoud - atakayekuwa mwamuzi wa kati wakati wasaidizi wake ni Gamaladen Abdi na Farhan Bogoreth wakati mwamuzi wa akiba atakuwa Twagirumukiza Abdoulkarim kutoka Rwanda huku Kamishna akiwa ni Amir Hassan wa Somalia
Waamuzi hao pamoja na kamishna wanatarajiwa kufika Dar es Salaam, Tanzania kesho Ijumaa kwa ndege ya Shirika la Ndege la Kenya (KQ) wakati wapinzani wa Taifa Stars wanaingia jioni ya saa 11.55 kwa ndege ya Shirika la Ndege la Afrika Kusini. Timu hiyo itafikia Hoteli ya Southern Sun, Dar es Salaam.
Mchezo kati ya Taifa Stars na Lesotho, utafanyika kuanzia saa 2.00 usiku kwenye Uwanja wa Azam uliko Chamazi, Dar es Salaam na ili kuwapa fursa Watanzania wengi kushuhudia mchezo huo, Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limeondoka kiingilio cha Sh 15,000.
Hivyo sasa Viingilio katika mchezo huo vitakuwa ni Sh 10,000 kwa Jukwaa Kuu wakati mzunguko itakuwa ni Sh 5,000.
Nahodha wa Tanzania, Mbwana Samatta kesho atawaburuza Mamba wa Lesotho?
Kujiandaa na Mchezo huo Taifa Stars ilipiga kambi hapa nchini kuanzia Mei 23, mwaka huu kabla ya kwenda Alexandria, Kaskazini kabisa mwa nchi ya Misri ambako ilipiga kambi ya wiki. Kambi hiyo ilifurahiwa na Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Salum Mayanga.
Mchezo huo dhidi ya Lesotho utakuwa ni wa kwanza kwa Taifa Stars katika Kundi ‘L’ kuwania nafasi muhimu ya kucheza fainali za Kombe la Mataiafa ya Afrika (AFCON) za mwaka 2019 zitakazofanyika Cameroon.
Mbali ya Lesotho na Tanzania, mataifa mengine katika Kundi ‘L’ ni Uganda na Cape Verde ambao pia wikiendi ya Juni 9, 10 na 11, mwaka huu watakuwa katika mchezo wa kwanza pia kuwania nafasi hiyo.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2rdq38o
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang MAREFA WA DJIBOUTI KUCHEZESHA STARS NA MAMBA KESHO. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/06/marefa-wa-djibouti-kuchezesha-stars-na.html. Terimakasih atas perhatiannya.