Na Salum Vuai, ZANZIBAR
ALIYEWAHI kuwa daktari mkuu wa timu ya soka ya Taifa Tanzania, Taifa Stars Abdallah Said Mohammed al-maaruf ‘Kuku’, amefariki dunia usiku wa jana Agosti 20, 2017 nyumbani kwake Muembetanga mjini Zanzibar baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Marehemu alilitumikia benchi la ufundi Taifa Stars wakati kikosi hicho kikinolewa na Marcio Maximo kutoka Brazil na msaidizi wake Mzanzibari, Ali Bushiri, ambacho kilifanikiwa kufuzu Fainali za Ubingwa wa Mataifa ya Afrika (CHAN) mwaka 2009 nchini Ivory Coast.
Jeneza lililobeba mwili wa marehemu (katika picha ndogo kushoto) likitolewa msikiti maiti, Michenzani baada ya kusaliwa kuelekea malazoni. Mwenyezi Mungu ailaze roho yake pahala pema Peponi. Amin.
Aidha aliwahi kuwa daktari wa timu ya taifa ya vijana U-20 wakati huo ikiitwa Karume Boys.
Marehemu amezikwa leo mchana kijijini kwao Fujoni Wilaya ya Kaskazini ‘B’ Unguja, ambapo mazishi yake yalihudhuriwa na mamia ya wananchi wa Zanzibar wakiwemo wanamichezo, madaktari na wafanyakazi wa taasisi mbalimbali alizozifanyia kazi ikiwemo Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) akihudumu katika kiwanja cha kufurahisha watoto Kariakoo kilicho chini ya mfuko huo.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2vhKZNH
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang DAKTARI WA TAIFA STARS YA MAXIMO AFARIKI DUNIA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/08/daktari-wa-taifa-stars-ya-maximo.html. Terimakasih atas perhatiannya.