Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
WAKATI Kamati ya Uchaguzi ikimrejesha Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ kwenye uchaguzi Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) Agosti 12 mwaka huu mjini Dodoma, wagombea wengine wanne wameenguliwa.
Akizungumza na Waandishi wa Habari leo mjini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa kamati hiyo, Wakili Revocatus Kuuli alisema kamati yake imewaondoa Shaffih Dauda, Elias Mwanjala, Benista Lugola na Ephraim Majige ambao walikuwa wanagombea ujumbe wa kamati ya utendaji.
Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ amerejeshwa kwenye uchaguzi wa TFF utakaofanyika Agosti 12 mjini Dodoma
“Tumejidhisha kuwa Julio ni kweli alisoma Kinondoni Muslim baada kupata vithibitisho kutoka baraza la mitihani lakini pia tumewaengua wagombea wanne ambao walikamatwa na TAKUKURU hivu karibuni kule Mwanza,” alisema Kuuli.
Pia Wakili Kuuli kamati yao imewaondoa wagombea hao lakini pia wana haki ya kukata rufaa kabla ya kamati yao kukaa Jumanne ya wiki ijayo kutoa orodha ya mwisho ya wagombea wote ili kuanza kampeni.
Jumla ya wagombea 74 walichukua fomu huku 58 wakiwania nafasi za ujumbe wa kamati ya utendaji katika Kanda mbalimbali hivyo kuondolewa wanne wanabaki 54 huku wagombea 10 wakiomba nafasi urais na makamu rais sita.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2fiuDSO
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms