Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
KITUO cha kulea watoto yatima cha Umra Ophanage kilichoko Magomeni jijini Dar es Salaam leo kimepokea msaada wa chakula mbalimbali kutoka kwa Kundi la Wanachama wa Simba liitwalo Simba HQ.
Msaada huo wa chakula ambao umejumuisha mchele, sembe, sukari, ngano, sabuni, mafuta ya kula, maharage, chumvi na maji una thamani ya Sh. milioni 2.2/.
Akizungumza kwa niaba ya kundi hilo, Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Simba, Haji Manara, alisema kuwa lengo la kutoa msaada huo ni kupunguza makali kwa walezi ambao wanaishi na watoto hao kutoka sehemu mbalimbali hapa nchini.
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Simba, Haji Manara akikabidhi misaada hiyo leo
Manara alisema kuwa anafahamu msaada huo hautamaliza changamoto ambazo zinawakabili lakini anaamini kwa siku chache kitawasaidia watoto hao waweze kuishi katika mazingira mazuri kama watoto wengine ambao wanaishi na wazazi wao.
"Hatutoi kwa sababu tunataka jamii ijue, lakini lengo letu ni kuhamasisha na watu wengine waje kutoa, waje kusaidia watu, wajitokeze kusaidia, hatuwezi kusikia furaha kama tunachokipata hatujirejeshi kwa jamii kama hii inayohitaji msaada," alisema Manara.
Naye Mkurugenzi wa kituo hicho, Rahma Kishumba, aliwashukuru wanachama hao wa Simba kwa msaada ambao wamewapatia na kueleza kuwa hii si mara ya kwanza kwa klabu hiyo kuwatembelea.
Mkurugenzi huyo aliitakia Simba mafanikio katika msimu mpya wa ligi huku pia akiwataka taasisi na makampuni mengine kujitokeza kuwasaidia hasa katika changamoto ya vifaa vya elimu kwa sababu analea watoto wa kuanzia chekechea hadi chuo.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2ucdX1V
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang SIMBA MAKAO MAKUU WAWAFARIJI YATIMA MAGOMENI. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/08/simba-makao-makuu-wawafariji-yatima.html. Terimakasih atas perhatiannya.