Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
UONGOZI wa klabu ya Maji Maji FC ya Songea umesema kwamba umesema unalazimika kubuni vyanzo vingine vya kimapato ili kuweza kujimudu, kwani udhamini wa kampuni ya SokaBet pekee hautoshelezi.
Hayo yamesemwa na Afisa Habari wa Maji Maji iliyopo katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kwa msimu wa tatu mfululizo tangu ipande tena, Onesmo Ndunguru leo katika taarifa yake kwa vyombo vya Habari.
“Uongozi wa Klabu ya Maji Maji yenye makao makuu Songea Ruvuma Tanzania siku ya tarehe 19 /09/2017 ilitoa namba maalumu kwa ajili ya wadau mbalimbali wakereketwa, wanachama na wapenzi wa Klabu hiyo popote walipo Tanzania kuweza kuichangia kwa kiwango chochote ambacho watajaliwa nacho ili kuiwezesha kujiendesha katika Ligi Kuu,”amesema Ndunguru.
 |
| Baadhi ya wachezaji wa Maji Maji kutoka kulia Abdulhalim Humud, Kennedy Kipepe na Jerson Tegete |
Afisa Habari huyo amesema kwamba pamoja na mengine yote, klabu pia imeona ni bora ibuni njia mbalimbali za kuweza kujipatia kipato ili iweze kuepukana na hali ngumu ya kiuchumi inayoikabili kwa sasa.
“Klabu ina vyanzo kadhaa vya Mapato ikiwemo jezi za Mashabaiki ambazo zipo mtaani hivi sasa na bado uongozi unaendelea kutafuta Vyanzo mbalimbali vya mapato na wadhamini mbalimbali pia ili Klabu iishi vizuri,”.
“Tunashukuru sana Uongozi wa Sokabet kwa kukubali kutudhamini kwa mkataba wa mwaka mmoja, sasa hapa kuna baadhi ya wadau mbalimbali kama panawachanganya kidogo, SokaBet wao wamechukua upande wa mishahara kwa wachezaji na benchi la ufundi kwa mwaka huo mmoja. Sasa kama bodi bado ina kazi ya kufanya, maanake kuna uendeshaji mwingine katika klabu kama vile kambi, chakula, safari na kadhalika,”amesema.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2xvvgzt
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang MAJI MAJI WAANZISHA UTARATIBU WA MASHABIKI KUCHANGIA TIMU. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/09/maji-maji-waanzisha-utaratibu-wa.html. Terimakasih atas perhatiannya.