Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM
NAHODHA wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta ameanza mazoezi mepesi chini ya uangalizi wa Daktari baada ya kupona maumivu ya goti yaliyomuweka nje kwa miezi miwili.
Akizungumza na Bin Zubeiry Sports – Online jana mshambuliaji huyo wa KRC Genk ya Ubelgiji amesema kwa sasa anafanya mazoezi maalum ya kukimbia, kuchezea mpira na ya viungo chini ya uangalizi wa daktari, ikiwa ni hatua ya mwisho kuelekea kurejea uwanjani.
“Nipo kwenye mazoezi ya mwisho, hatua ya mwisho kabla sijajiunga na timu, nafanya mazoezi chini ya usimamizi wa mtaalamu (Daktari) wa maozezi ya viungo,”amesema Samatta.
Mbwana Samatta ameanza mazoezi mepesi chini ya uangalizi wa Daktari baada ya kupona maumivu ya goti yaliyomuweka nje kwa miezi miwili
Samatta amekamilisha wiki sita za mapumziko kufuatia kuumia mishipa midogo ya goti lake la mguu wa kulia ambayo ilichanika Novemba 4, mwaka jana akiichezea KRC Genk ikilazimishwa sare ya 0-0 na Lokeren katika mchezo wa Ligi Daraja la Kwanza A Ubelgiji Uwanja wa Luminus Arena mjini Genk.
Samatta aliumia akiichezea mechi ya 70 Genk tangu alipojiunga nayo Januari mwaka 2016 akitokea TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Na katika mechi hizo 70, Samatta, mshambuliaji wa zamani wa Mbagala Market, African Lyon na Simba za Tanzania, amefunga mabao 22 kwenye mashindano yote.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://ift.tt/2CLT2dy
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang SAMATTA AANZA MAZOEZI MAALUM YA KURUDI UWANJANI. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2018/01/samatta-aanza-mazoezi-maalum-ya-kurudi.html. Terimakasih atas perhatiannya.