NYOTA wa Brazil, Neymar amesema kama angekuwepo uwanjani katika mechi ya nusu fainali ya Kombe la Dunia mwaka 2014, basi Brazil isingefungwa mabao 7-1 na Ujerumani.
Neymar hakucheza mechi hiyo ya fainali kutokana na majeraha ya mgongo aliyoyapata katika fainali hizo zilizofanyika Brazil na Ujerumani kutwaa ubingwa.
"Nilipenda kucheza mchezo ule lakini hali haikuweza kuniruhusu, na naamini tusingefungwa mabao yote yale na natamani mechi ile ijirudie tena.
Neymar amesema kama angekuwepo uwanjani katika nusu fainali ya Kombe la Dunia mwaka 2014 Brazil isingefungwa mabao 7-1 na Ujerumani
“Yaani niwe uwanjani naichezea Brazil halafu tufungwe mabao yote hayo? Haiwezekani naamini kama ningecheza mechi ile matokeo yangekuwa tofauti kabisa," amesema Neymar.
Neymar alikosa kucheza mechi ya nusu fainali kwenye Uwanja wa Belo Horizonte baada ya kuumia katika robo fainali dhidi ya Colombia.
Katika fainali za Kombe la Dunia za 21 zilizoanza leo huko Urusi, Neymar anayechezea Brazil ndiye mchezaji ghali zaidi akiwa na thamani ya dola milioni 261.
PSG ilimnunua Neymar kutoka Barcelona kwa dau la dola milioni 261 na kuweka rekodi ya dunia ya usajili.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2JNPAiO
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang NEYMAR: NINGEKUWEPO UJERUMANI WASINGETUPIGA SABA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2018/06/neymar-ningekuwepo-ujerumani.html. Terimakasih atas perhatiannya.