Na Sada Salmin, DAR ES SALAAM
BEKI wa kimataifa wa Tanzania, Abdi Hassan Banda yuko Afrika Kusini anacheza soka ya kulipwa klabu ya Baroka FC, lakini hesabu zake ni kwenda Ulaya.
Banda amethibitisha hayo baada ya kupewa zawadi ya jezi na mchezaji mwenzake wa Taifa Stars, Nahodha Mbwana Ally Samatta anayechezea klabu ya KRC Genk ya Ligi Kuu ya Ubelgiji.
Samatta amemzawadia Banda jezi yake ya klabu ya Genk wiki iliyopita baada ya wote kukutana Dar es Salaam kwa mapumziko ya baada ya msimu.
Abdi Banda akiwa amevaa jezi ya KRC Genk aliyopewa na Nahodha wake Taifa Stars, Mbwana Samatta
Na baada ya kupewa jezi hiyo, Banda ambaye kama Samatta wote wametokea klabu ya Simba ya Dar es Salaam, akaenda kuandika kwenye ukurasa wake wa Instagram; “Asante kaka @samagoal77 sumu hii ngoja nilale niote nipo huko,”.
Banda anamaanisha jezi hiyo itamfanya aote naye yuko Ulaya, hivyo kuongeza juhudi katika klabu yake Baroka ili atimize ndoto za kufuata nyayo za Nahodha wake.
Mbwana Samatta (kulia) akiichezea klabu yake, KRC Genk nchini Ubelgiji
Wiki iliyopita, wawili hao walikutana katika mechi ya hisani ya kuchangia madawati na ujenzi wa vyoo vya shule za msingi Dar es Salaam baina ya Samatta na Rafiki zake dhidi ya mwanamuziki Ally Kiba na Rafiki zake Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Katika mchezo huo uliofanyika Juni 9 na kuhushuriwa na Waziri wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe Team Samatta ilitoka nyuma kwa 2-0 na kushinda 4-2.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2JSg0Qf
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang SAMATTA AMUONGEZEA BANDA ‘HASIRA’ ZA KWENDA KUKIPIGA ULAYA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2018/06/samatta-amuongezea-banda-hasira-za.html. Terimakasih atas perhatiannya.