Na Mwandishi Wetu, DODOMA
SIMBA SC imevuliwa ubingwa wa michuano ya Ligi Kuu ya Taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 20, maarufu kama Kombe la Uhai inayoshirikisha vikosi vya pili vya klabu za Ligi Kuu ya Tanzania Bara baada ya kufungwa bao 1-0 na Mtibwa Sugar ya Morogoro katika mchezo wa Nusu Fainali viwanja vya Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM).
Lakini haikuwa kazi nyepesi kwa Simba SC kuvuliwa ubingwa, kwani Mtibwa Sugar walilazimika kupigana kwa dakika 120 kufanikisha zoezi hilo na shujaa wao alikuwa ni Abuu Yohana aliyefunga bao hilo pekee dakika ya 117.
Na kwa ujumla haikuwa siku nzuri kwa timu za Dar es Salaam, kwani washindi wa pili wa msimu uliopita, Azam FC nao wametupwa nje pia hii leo.
Azam FC wamefungwa 1-0 nao na Stand United, bao pekee la Maurice Mahela dakika ya 32 viwanja vya UDOM na sasa fainali itazikutanisha Mtibwa Sugar na timu hiyo ya Shinyanga Juni 21.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2K6cTrw
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms