Na Mwandishi Wetu, MBEYA
TIMU ya Mbeya City imepata ushindi wake wa kwanza katika Ligi Kuu ya kandanda Tanzania Bara kufuatia kuichapa 2-0 Alliance FC ya Mwanza mchana wa leo Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya.
Ushindi huo umetokana na bao moja la kipindi, Victor Hangaya akianza kufunga la kwanza dakika ya 18 kabla ya Eliud Ambokile kufunga la pili dakika ya 81.
Ushindi huo unaifanya Mbeya City iokote pointi tatu za kwanza baada ya kufungwa mechi tatu mfululizo zilizopita zote ugenini, 2-0 mara mbili na Azam FC na Simba SC na 2-1 Manungu kwa Mtibwa Sugar.
Kwa Alliance FC iliyopanda Ligi Kuu msimu huu, inafikisha mechi ya nne bila ushindi ikiwa na pointi moja tu iliyovuna kwenye sare moja ya 1-1 nyumbani na African Lyon huku mechi nyingine mbili ikifungwa pia 1-0 na Mbao FC mjini Mwanza na 2-0 na Tanzania Prisons mjini Mbeya pia.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2paPAAL
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms